LEO KATIKA HISTORIA......

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mastaa Antoine Griezmann, mchezaji wa klabu ya Atlético Madrid, raia wa Ufaransa. Ametimiza miaka 26.

Ronaldinho mshambuliaji wa zamani wa Barcelona na Brazili anaetimiza miaka 37.

Kocha Ronald Koeman wa Everton anaefikisha miaka 54.

na Lothar Matthaeus  anaetimiza miaka 56

Antoine Griezmann
Ronald Koeman

Ronaldinho
lothar Matthaeus

Comments

Popular Posts