VILABU VYA SOKA VINAVYOUZA JEZI ZAIDI.....................

Manchester United kwa mara nyingine wamekamata nafsi ya juu tena kwenye chati ya mauzo ya jezi 2016 baada ya usajili wa majina makubwa Ibrahimovic, Paul Pogba na Henrik Mikhiratyan. mauzo yalipaa juu mwanzo wa msimu wa 2016-17 ikiwa ni ongezeko la 40% ikilinganisha na mwaka jana.  Jezi za Ibrahimovic and Pogba zikiwa ndio zinauza sana England na duniani. Real Madrid pekee ndio inaonekana kuikaribia United baada ya miamba hiyo ya Spain kuona ongezeko la 32% kwenye mauzo ya jezi zake.




1.Manchester United  2,850,000  (40% increase)  Brand   Addidas, Jezi inayouza sana  Paul Pogba



2.Real Madrid          2,290,000   (32% increase)    Brand  Addidas, Jezi inayouza sana   C.Ronaldo


 3.Barcelona          1,980,000     (11% increase)       Brand   Nike, Jezi inayouza sana Lionel Messi



Comments

Popular Posts